PAMBA FC YARUDI LIGI KUU YA TANZANIA, BAADA YA MSOTO WA KIPINDI KIREFU

 Timu ya Pamba Fc ya Jijini Mwanza inarudisha heshima yake ya zamani kwa kurudi ligi kuu ya Tanzania baada ya kipindi kirefu kuwa nje ya ligi kuu ikiwa imebakiza michezo mitatu basi itakuwa miongoni mwa timu mbili zitakazo cheza ligi ya NBC msimu ujao.

 


Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA