GARI LA OLE SENDEKA LILIVYOCHAKAZWA KWA RISASI


Pichani ni mwonekano wa gari la Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka lilivyoshambuliwa jana usiku ambapo jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi na mpaka sasa timu ya wataalamu kutoka makao makuu Dodoma kwa kushirikiana na timu ya wataalamu Manyara ili kupata wahusika na kujua chuanzo cha shambulio hili lililohusisha risasi.


 
 
Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 تعليقات

إرسال تعليق

Post a Comment (0)

أحدث أقدم

TUTUMIE UJUMBE HAPA