MREMBO ANAYETUPAMBIA KURASA ZETU LEO

 


Anayetupambia kurasa zetu za leo ni Bi. Asia Abdallah Juma -Mkuu wa Wilaya mstaafu na Mjumbe wa baraza kuu la UWT Taifa.

 

 Haiba yake na matendo ni mvuto kwa vijana wa kitanzania Unyenyekevu wake kwa jamii hauna kipimo.

 

Kujitoa kwake katika kusaidia jamii ni moyo aliokuwa nao katika maisha Tunamtakia kila la kheri na aendelee na moyo huo huo.

 








Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA