WIZARA YA MADINI YASHINDA TUZO KIPENGELE CHA NISHATI, MADINI


Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Taasisi zake na Wadau wa Sekta ya Madini imeibuka Mshindi Namba 1 katika kipengele cha Nishati na Madini kwenye kilele cha Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Sabasaba.

Asanteni sana wananchi na wadau wote wa Sekta ya Madini mliotembelea katika banda la MADINI PAVILION kujifunza, kuona na kusikiliza.

#Tanzania Mahali Sahihi Pa Biashara na Uwekezaji.

#Sekta ya Madini kwa Uchumi Imara na Maendeleo Endelevu. kujifunza, kuona na kusikiliza.
#Tanzania Mahali Sahihi Pa Biashara na Uwekezaji.
#Sekta ya Madini kwa Uchumi Imara na Maendeleo Endelevu.

#GST #STAMICO #TUME YA MADINI #TGC# TEITI, CHAMBER OF MINES #MAMBA MINERALS #GGM

#JITEGEMEE HOLDING, #YAYA RESOURCES #ESAP LIMITED # NKONYA INVESTMENT
Je?, UNA HABARI,PICHA, TANGAZO AU TAARIFA AMBAYO UNGEPENDA TUICHAPISHE KATIKA MTANDAO HUU? WASILIANA NASI, Email : fichuziblog@gmail.com , Simu +255 752 925 603

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post

TUTUMIE UJUMBE HAPA